Kuhusu Sisi
Kuhusu Taasisi
About Company
Macem Maisha Business ni taasisi ya fedha ndogo inayotoa huduma za kifedha kwa wajasiriamali Tanzania.
Dira
Vision
Kuwa taasisi inayoongoza katika utoaji wa mikopo.
Dhamira
Mission
Kutoa huduma bora za kifedha.
Huduma Zetu
Our Services
- Mikopo ya Wajasiriamali
- Mikopo ya Dharura
- Mikopo ya Watumishi
Historia
Our Journey
Macem Maisha Business of Finance Services Limited ilianzishwa mwaka 2019 kama kampuni binafsi ya dhima yenye hisa nchini Tanzania. Kampuni inalenga kutoa huduma za kifedha kwa wajasiriamali wadogo na wa kati ili kusaidia ukuaji wa biashara zao. Ilianzishwa na wanahisa wawili, Bw. Marco Mabula Castory na Ezekiel Msumeno Mapesa.
Macem Maisha Business of Finance Services Limited ilipata usajili tarehe 22 Aprili 2021 na kupata leseni ya kutoa huduma za fedha ndogo (Kundi la 2 – wasiochukua amana) iliyotolewa tarehe 22 Novemba 2022 kwa mujibu wa Sheria ya Fedha Ndogo ya mwaka 2018. Pia ni mlipa kodi aliyesajiliwa na TIN 138-951-987 tangu tarehe 17 Aprili 2019.